ndabuli.blogspot.com
Mtizamo wangu: CHAI,ZAMBARAU NA FULLLIGHT !
http://ndabuli.blogspot.com/2007/07/chaizambarau-na-fulllight.html
Monday, July 30, 2007. CHAI,ZAMBARAU NA FULLLIGHT! Karibuni, Karibuni,Karibuni ngoja niwaongezee kiti. Asante Anti, du anti umependeza! We anko(anamjua jina lake) unacheka nini sasa? Mshikaji 1 wa Ndabuli. Yaani we Hadija leo unaniita anko? Mshikaji 2 wa Ndabuli. Hube tulete vinywaji hizo longolongo zenu mtaongea wakati tunakata kiu. Kunywa Kilimanjaro au Tusker. Kunywa Serengeti ndio yenyewe.mletee Serengeti darling wangu! Tena kwa msisitizo na sauti kubwa) Kahawa! Kwani hamuuzi kahawa hapa? Ila swala l...
tzscholars.blogspot.com
Scholarships, Grants and Financial Aid for All: June 2015
http://tzscholars.blogspot.com/2015_06_01_archive.html
Scholarships, Grants and Financial Aid for All. Free scholarships, bursaries, fellowships and financial aid for undergraduate, graduate, postgraduate studies, short term trainings and research at top universities, colleges and institutes throughout the world. Funding opportunities for individuals, NGOs and organizations. Subscribe to Scholarships for All. Scholarship alert via email. Subscribe to Scholarships and Financial Aid for All. Powered by us.groups.yahoo.com. Individuals at Risk Campaigner. The S...
tzscholars.blogspot.com
Scholarships, Grants and Financial Aid for All: May 2015
http://tzscholars.blogspot.com/2015_05_01_archive.html
Scholarships, Grants and Financial Aid for All. Free scholarships, bursaries, fellowships and financial aid for undergraduate, graduate, postgraduate studies, short term trainings and research at top universities, colleges and institutes throughout the world. Funding opportunities for individuals, NGOs and organizations. Subscribe to Scholarships for All. Scholarship alert via email. Subscribe to Scholarships and Financial Aid for All. Powered by us.groups.yahoo.com. Individuals at Risk Campaigner. Appli...
fitalutonja.blogspot.com
uhuru na haki: 08/21/08
http://fitalutonja.blogspot.com/2008_08_21_archive.html
Uhuru wa habari ni ukombozi. Aug 21, 2008. Huwa ninalia ninapowakumbuka wapigania haki za wanyonge kama Lenin, Fredrick Angle, Dk.Carl Marx, Josef Stalen na wengine wegi huwa ninawakumbuka sana japo sitakufahamisha ni kitu gani walikifanya katika kupigania haki za binadamu kutoka kwa Mabepari ninajua bila shaka unawajua umuhimu wao katika jamii. Watu hawa sasa wanafurahia katika dunia hii hawajui kuwa dunia hii ni ya kupita tu na makao yetu ya kudumu yako mbinguni kwa baba yetu Mungu, kule mbinguni ndio ...
uchambuzi.wordpress.com
August | 2007 | Jukwaa Huru la Uchambuzi
https://uchambuzi.wordpress.com/2007/08
Jukwaa Huru la Uchambuzi. Archive for August, 2007. Msanii wa Bongo Fleva ndani ya Blogu. Wengi wetu tulitarajia na tulijua kuwa ni suala la muda tu, tungeweza kumwona Freddy Macha mtandaoni, lakini ni nani alitarajia ujio wa Ilunga Khalifa? Kuna watu tayari wanajiuliza naye ni nani. Sasa ngoja nikwambie kitu…. Ilunga Khalifa, ni mmoja kati ya wasanii kadhaa wa huu muziki wa kizazi kipya, ambao wamefanikiwa ‘kuwashika’ vijana vilivyo kutokana na nyimbo zao zenye mistari ya aina yake. Wakati wasanii wetu ...
fitalutonja.blogspot.com
uhuru na haki: UDOM Uchafu Kunuka
http://fitalutonja.blogspot.com/2010/04/udom-uchafu-kunuka.html
Uhuru wa habari ni ukombozi. Apr 9, 2010. Kikuu cha Dodoma ni chuo kipya ambacho kimejaa misukosuko na mikasa ya kila aina. Kama wewe unaishi bali na huwa unakiona chuo hiki katika runinga basi huwezi jua mambo yaliyopo katika chuo hiki. Yawezekana pia huwa unakisikia kwenye vyombo vya habari mbalimbali vikisifiwa na viongozi wetu akiwemo rais wetu ambaye hachoki kukisifia kila anapoulizwa kuhusiana na serikali imeleta maendeleo gani hasa katika sekta ya elimu. Wanafuzi wanaingia madarasani bila kuonga h...
fitalutonja.blogspot.com
uhuru na haki: 08/20/08
http://fitalutonja.blogspot.com/2008_08_20_archive.html
Uhuru wa habari ni ukombozi. Aug 20, 2008. Ninaimani kubwa sana Watanzania tunaweza kujikomboa na kuwa huru kifikra, kimawzo, kiuchumi, kisansi, kijamii, kisaikoloa nk, ili tujikomboe yatupasa kufikria ni viongozi gani wanatufaa? Ambao watasimama kutetea haki zetu na rasilimali zetu? Hakika tukijua hilo hapo ndipo tutajikomboa na kuwa huru katika haki zetu, lakini tusipojua hilo daima tutaendelea kudhulumiwa haki zetu kwani viongozi wetu hawana na huruma nasisi pamoja na watoto wetu. Zawadi ni kudhamiana...
proudafrican.wordpress.com
A traveller is an atheist. We have that saying in… | AFRICAN PERSPECTIVE
https://proudafrican.wordpress.com/2006/09/15/a-traveller-is-an-atheist-we-have-that-saying-in
A traveller is an atheist. We have that saying in…. September 15, 2006 at 4:43 pm ( Uncategorized. A traveller is an atheist. We have that saying in Africa. How much of that saying is true or not could be an endless debate. There are thousands of perceived messages that could come out of this picture. What do you think when you see this one? Please leave your opinion(s).Don’t just glance at it and say nothing.I would like to hear from you. Picture courtesy of my good friend. Who blogs in swahili at.
fitalutonja.blogspot.com
uhuru na haki: Mugabe: Kamwe sitamwamini Mzungu
http://fitalutonja.blogspot.com/2009/01/mugabe-kamwe-sitamwamini-mzungu.html
Uhuru wa habari ni ukombozi. Jan 4, 2009. Mugabe: Kamwe sitamwamini Mzungu. Asema wazungu kwao si Afrika. 8220;KAMWE sitamwamini Mzungu hata siku moja, mweupe pekee wa kumwamini ni yule aliyekufa, wazungu kwao si Afrika, Afrika ni ya Waafrika hivyo basi Zimbanwe ni ya Wazimbabwe”. Rais huyo alisema hayo wakati alipoamru wazungu wapokonywe ardhi walikuwa wanaimiliki nchini Zimbabwe na wapewe wazawa wa nchi hiyo. Anachoamini Mugabe ni kwamba Afrika ni kwa ajili ya Waafrika, msimamo wa aina hiyo umekuwa uki...