chingaone.com
EXCLUSIVE: White Widow Samantha Lewthwaite now commands an army of 200 jihadi widow spies who pretend to be street sellers or hotel receptionists and call her the 'Mother of Holy War' | Chingaone blog
http://www.chingaone.com/2015/05/exclusive-white-widow-samantha.html
EXCLUSIVE: White Widow Samantha Lewthwaite now commands an army of 200 jihadi widow spies who pretend to be street sellers or hotel receptionists and call her the 'Mother of Holy War'. EXCLUSIVE: White Widow Samantha Lewthwaite now commands an army of 200 jihadi widow spies who pretend to be street sellers or hotel receptionists and call her the 'Mother of Holy War'. She 'works in Intelligence Unit of Somali-based terror group Al-Shabaab'. And one of her star 'students' was behind the shocking suicide at...
chingaone.com
Burundi:Nkurunziza ahairisha uchaguzi | Chingaone blog
http://www.chingaone.com/2015/05/burundinkurunziza-ahairisha-uchaguzi.html
Rais wa Burundia Pierre Nkurunziza amehairisha uchaguzi wa ubunge kwa siku kumi . Msemaji wa rais Willy Nyamitwe ameiambia shirika la habari la AFP kuwa kufuatia jaribio la mapinduzi juma lililopita na vurugu zilizofuatia ni bora kuahirisha uchaguzi huo kwa muda. Hadi kufikia sasa tarehe rasmi ya uchaguzi wa urais uliopangwa kufanywa Juni tarehe 26 haijabadilika. Subiri tu' Nyamitwe aliwaambia waandishi wa habari. Takriban watu 20 wameuawa kufuatia makabiliano baina ya polisi na waandamani katika mji mku...
kamanganamatukio.blogspot.com
WANYANYASAJI WA WATOTO WAANZA KUCHUKULIWA HATUA MKOANI MBEYA. - Kamanga na Matukio
http://kamanganamatukio.blogspot.com/2014/03/wanyanyasaji-wa-watoto-waanza.html
WANYANYASAJI WA WATOTO WAANZA KUCHUKULIWA HATUA MKOANI MBEYA. WANYANYASAJI WA WATOTO WAANZA KUCHUKULIWA HATUA MKOANI MBEYA. John Msumba(3)ambaye amekuwa akipigwa mara kwa mara na wakati wote na kufungiwa ndani kwa kufuli pia kunyimwa chakula na shangazi yake. JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwanamke mmoja Mwanahawa Nasoro(32) Mkazi wa Mtaa wa Airport Kata ya Iyela Jijini Mbeya akituhumiwa kumfanyia vitendo vya unyanyasasaji Mtoto wa ndugu yake. Alisema wakati watu wako msibani na mlango wa ny...
kamanganamatukio.blogspot.com
WANAWAKE WAMETAKIWA KUJITOKEZA KUPIMA AFYA ZAO ILI KUEPUKANA NA UGONJWA WA SHINGO YA KIZAZI - Kamanga na Matukio
http://kamanganamatukio.blogspot.com/2015/05/wanawake-wametakiwa-kujitokeza-kupima.html
WANAWAKE WAMETAKIWA KUJITOKEZA KUPIMA AFYA ZAO ILI KUEPUKANA NA UGONJWA WA SHINGO YA KIZAZI. WANAWAKE WAMETAKIWA KUJITOKEZA KUPIMA AFYA ZAO ILI KUEPUKANA NA UGONJWA WA SHINGO YA KIZAZI. Picha hii imetumika kupamba habari, lakini haijachukuliwa katika eneo husika la habari hii. Kaimu Mganga Mkuu amesema kuwa baadhi ya changamoto ni pamoja na ukosefu wa mashine za kupimia vipimo katika Wilaya ambazo zingebaini magonjwa mbalimbali yakiwemo ya shingo ya uzazi kwa akina mama kwani kwa sasa huduma hiyo huipata...
kamanganamatukio.blogspot.com
December 2013 - Kamanga na Matukio
http://kamanganamatukio.blogspot.com/2013_12_01_archive.html
NDOA YAVUNJIKA RASMI WAVUTANA KURUDISHIANA FEDHA WALIZOPOKEA. Bwana harusi akiwa na mpambe wake kanisani wakimsubiri bibi. Jamaa wameshika vichwa hali haieleweki. Bi Harusi Naomi Ngoje akiwa amejilalia chumbani akiwa anahuzunika na kushangaa wazazi wake kurudisha mahali ya mchumba wake. Vitu vinavyodaiwa ni Fedha taslimu takribani Shilingi 310,000/= ambazo zilitolewa kwa ajili ya Mkaja pamoja na kiingilio, Blanketi na Mashuka. Kwa habari zaidi Jumatatu endelea kufuatlia. Posted by Chimbuko Letu. Bi Harus...
bensonmakaya.blogspot.com
Makaya's Forum: UNDERSTANDING.
https://bensonmakaya.blogspot.com/2012/02/understanding.html
UTAPATA NAMNA YA KUWEZA KUINUA UBONGO,YAANI FIKRA.KATIKA KUFIKIRI, KUWA KATIKA MTAZAMO ULIO BORA.'. Tuesday, February 28, 2012. We do and say a lot,. Being that it brings an understanding or misunderstandings within the community,. It is likely that we have as yet we discover this,. If not the means to be lower,. As are Many we could rise up if it is successful,. If so we should know less how was because we can not build up if under our foundation was bad,. Its only the color that differentiate,. Because...
chingaone.com
'My life is a miracle': HIV-positive father-of-three shares inspirational image of his HIV-negative wife and children in the hopes of changing the way society views the illness | Chingaone blog
http://www.chingaone.com/2015/05/my-life-is-miracle-hiv-positive-father.html
My life is a miracle': HIV-positive father-of-three shares inspirational image of his HIV-negative wife and children in the hopes of changing the way society views the illness. My life is a miracle': HIV-positive father-of-three shares inspirational image of his HIV-negative wife and children in the hopes of changing the way society views the illness. Andrew Pulsipher, from Phoenix, Arizona, has been HIV-positive since birth. Andrew Pulsipher, from Phoenix, Arizona, shared an image of himself, his wife V...
chingaone.com
Watinga kuchukua maiti wakivalia nguo za magunia | Chingaone blog
http://www.chingaone.com/2015/05/watinga-kuchukua-maiti-wakivalia-nguo.html
Watinga kuchukua maiti wakivalia nguo za magunia. Watinga kuchukua maiti wakivalia nguo za magunia. Ndugu na jamaa wa marehemu Victoria Silvester (53), wakiwa ndani ya chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Rufaa ya KCMC, huku wakiwa wamevaa magunia walipokwenda kuuchukua mwili kwa ajili ya mazishi, mkoani Kilimanjaro jana. Beata na ndugu zake walifika kwenye hospitali hiyo kwa ajili ya kuuchukua mwili huo wakiwa wamevalia magunia. Tukio hilo lilitokea jana kati ya saa 4:30 asubuhi na saa 6:00 mcha...
chingaone.com
Ukweli kamili - Mapenzi ya Diamondi na Wema na Tetesi za Uhusiano uliopo kati ya Diamond na JOKATE! | Chingaone blog
http://www.chingaone.com/2011/12/diamond-arudisha-majeshi-kwa-mpenzi.html
Ukweli kamili - Mapenzi ya Diamondi na Wema na Tetesi za Uhusiano uliopo kati ya Diamond na JOKATE! Ukweli kamili - Mapenzi ya Diamondi na Wema na Tetesi za Uhusiano uliopo kati ya Diamond na JOKATE! Kwa mujibu wa FB page yake Jokate amejibu issue yake na Wema kuhusu kumchukulia Diamond na nukuu. Mie nimpore Wema Diamond, that is too low for me ingawa Diamond alionyesha interest but I have one and only one in my life, Hate me or love me I am not that low". Share on Google Plus. Akina Mama na watoto.
chingaone.com
Wanafunzi UDSM wapigwa mabomu wakidai mikopo. | Chingaone blog
http://www.chingaone.com/2015/05/wanafunzi-udsm-wapigwa-mabomu-wakidai.html
Wanafunzi UDSM wapigwa mabomu wakidai mikopo. Wanafunzi UDSM wapigwa mabomu wakidai mikopo. Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa HESLB, Cosmas Mwaisobwa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM), wanaoishi katika hosteli za Mabibo ambao walikuwa wakiandamana kudai fedha zao za kujikimu. Walichukua hatua hiyo kutokana na kucheleweshewa mikopo na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu (HELSB). Rais wa ...