kirukaafrika.blogspot.com
AFRIKA YETU: AFRIKA YETU...
http://kirukaafrika.blogspot.com/2012/04/afrika-yetu.html
Subscribe to: Post Comments (Atom). Dar Es Salaam Time. SERIKALI YAWATAKA WATENDAJI NA WAMILIKI WA BLOGGERS KUZINGATIA NSHERIA ZA NCHI. Na Beatrice Lyimo-MAELEZO,* Dar es Salaam* *SERIKALI imetoa wito kwa wamiliki na watendaji wa mitandao ya kijamii (Blogs) nchini kufuata Misingi, Sheria n. Mfahamu producer Cjamoker wa Chimbo Inc. Photo Of The Day💕. I Wanna Thank The Almighyt God For This Beautiful Gift. My World. My Sylvia. DONT PANIC,RELAX AND ENJOY THE LIFE. Sights you may not see twice in a lifetime.
kirukaafrika.blogspot.com
AFRIKA YETU: AJALI ZINA KINGA TUKIWA MAKINI.
http://kirukaafrika.blogspot.com/2012/05/tunapopanda-boda-boda-inabidi-tuwe.html
AJALI ZINA KINGA TUKIWA MAKINI. Tunapopanda Boda boda inabidi tuwe makini sana hasa tnapokua hatuna kofia ngumu (helement). Tazama ajali kama hii iliyotokana na uzembe wa muendesha Boda boda na abiria wake. Wewqe kama abiria una haki kuuliza kofia ngumu kwa usalama wa maisha yako. Subscribe to: Post Comments (Atom). Dar Es Salaam Time. SERIKALI YAWATAKA WATENDAJI NA WAMILIKI WA BLOGGERS KUZINGATIA NSHERIA ZA NCHI. Mfahamu producer Cjamoker wa Chimbo Inc. Photo Of The Day💕. Blesses of your life. Elibarik...
kirukaafrika.blogspot.com
AFRIKA YETU: BURUDANI
http://kirukaafrika.blogspot.com/p/burudani.html
HIZI NDIYO BURUDANI ZA KIAFRIKA, NA AFRIKA YETU. NIACHENI NA DIAMOND WANGU". Baada ya kusemwa sana na kuchafuliwa sana kwenye magazeti na vyombo mbalimbali vya habari hatimae Wema Sepetu ameamua kuweka wazi kua yeye na mwanamuziki Diamond The Platnum ni wapenzi na kama Mwenyezi Mungu atapenda ni lazima awe mumewe wa ndoa kabisa. Kirukaafrika na Afrika yetu. Inawatakia mafanikio mema katika mahusiano yao. MZUKA UKIPANDA HA NGUO NITAVUA.". Christian Balla kijana kutoka Congo Kinshansa. During his extraordi...
kirukaafrika.blogspot.com
AFRIKA YETU: AFGOYE YATEKWA NA AMISON.
http://kirukaafrika.blogspot.com/2012/05/afgoye-yatekwa-na-amison.html
AFGOYE YATEKWA NA AMISON. Wanajeshi wa Muungano wa Afrika nchini Somalia wameuteka mji mihumu karibu na jiji kuu Mogadishu baada ya wapiganaji wa Kiisilamu kuondoka eneo hilo. Mji wa Afgoye umekua ngome kuu ya kundi la Al-Shabaab ambapo wapiganaji hao wanatumia eneo hilo kuulenga mji wa Mogadishu. Wadadisi wamesema kwa kundi la Al- Shabaab kupoteza mji huo ni pigo kubwa, japo wapiganaji hao wanaaminika kujificha katika maeneo ya vichaka na mashamba ya karibu. Subscribe to: Post Comments (Atom). Galacha w...
kirukaafrika.blogspot.com
AFRIKA YETU: AFYA
http://kirukaafrika.blogspot.com/p/afya.html
JINSI YA KUEPUKA KUNUKA MDOMO. Kuwa na harufu mbaya mdomoni ni kitendo kinachoweza kuathiri. Maisha ya mtu kimahusiano si kwa mpenzi tu bali marafiki na jamii kwa ujumla. Pia kuwa na harufu mbaya mdomoni hupunguza mtu kuwa lovable kwani hata unapoongea wengi watakwepa kuongea direct na wewe kwa sababu ya harufu mbaya inayotoka mdomoni. Kile unakula kina affect hewa unayotoa iwe mdomoni au sehemu nyingine. Na baadhi ya vyakula vina matokeo mabaya sana kwa hurufu unayotoa mdomoni. JINSI YA KUTAMBUA KWAMBA ...
kirukaafrika.blogspot.com
AFRIKA YETU: JAMII
http://kirukaafrika.blogspot.com/p/jamii.html
Mbunge Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe (CHADEMA) ambaye leo amesoma bajeti mbadala ya upinzani Bungeni, amekuwa Mbunge wa kwanza wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutumia teknolojia ya kisasa kufanya presentation kwenye Bunge kwa kutumia kifaa cha iPad kusoma hotuba yake. Hongera Zitto,ni wakati wa kuweka makaratasi pembeni sasa haha. Mmoja wa watu waliokuwa wakishuhudia Zitto akitumia kifaa hicho kupitia luninga alisikika akisema. Na mwingine.Hivi kanuni za bunge zinahurusu kweli hichi kifaa?
kirukaafrika.blogspot.com
AFRIKA YETU: LULU AFIKISHWA MAHAKAMANI LEO HII.
http://kirukaafrika.blogspot.com/2012/04/lulu-afikishwa-mahakamani-leo-hii.html
LULU AFIKISHWA MAHAKAMANI LEO HII. Msanii wa kike wa filamu Tanzania Elizabeth Michael Kimemeta maarufu kama Lulu,amefikishwa mahakamani akikabiliwa na mashtaka ya mauaji ya msanii mwingine wa filamu Marehemu Steven Kanumba. Amefikishwa mahakamani ikiwa ni siku nne, tangu alipokamatwa mara baada ya kifo cha msanii huyo ambaye inaaminika kuwa walikuwa na uhusiano wa Kimapenzi. Msanii huyo alikanusha kuwa na umri wa miaka 18 baada ya kuulizwa ,ambapo yeye amesisitiza kuwa ana umri wa miaka 17, hii ikiwa ni...
kirukaafrika.blogspot.com
AFRIKA YETU: DARUBINI KUBWA KUFUNGWA AFRIKA.
http://kirukaafrika.blogspot.com/2012/05/darubini-kubwa-kufungwa-afrika.html
DARUBINI KUBWA KUFUNGWA AFRIKA. Afrika Kusini, Australia na New Zealand zimeafikiana kujenga darubini kubwa zaidi duniani. Haya yametangazwa katika mkutano kati ya nchi tatu mjini Capetown.Darubini zote zitatumika katika kuimarisha teknolojia ya fanaki. Ni darubini ambazo zitasaidia kufahamu maisha katika sayari nyingine. Mradi huu unanuia kujenga darubini zitakazochukua upana wa viwanja vya mpira. Subscribe to: Post Comments (Atom). Dar Es Salaam Time. Mfahamu producer Cjamoker wa Chimbo Inc. Blesses of...
kirukaafrika.blogspot.com
AFRIKA YETU: ELIMU
http://kirukaafrika.blogspot.com/p/elimu.html
UNAFAHAMU UMUHIMU WA KULALA. Wanasayansi wanasema mahitaji ya usingizi kwa watu yana uhusiano na jeni zao yaani genes. Wamegundua kuwa watu wenye aina ya jeni iitwayo ABCC9 wanahitaji takriban dakika thelathini za ziada za usingizi kila usiku kuliko wale wasiokuwa nayo. Utafiti uliofanywa ulilenga bara la Ulaya na kugundua kuwa humusi ya watu wana aina hiyo ya jeni. Lakini kwa wengine akiwemo mwanafizikia Albert Einstein hata muda wa saa 10 wa usingizi haukumtosha. This is a web application which helps y...
kirukaafrika.blogspot.com
AFRIKA YETU: LEO MAMA YAKO ANGEKUFANYA HIVI UNGEKUA WAPI?
http://kirukaafrika.blogspot.com/2012/05/leo-mama-yako-angekufanya-hivi-ungekua.html
LEO MAMA YAKO ANGEKUFANYA HIVI UNGEKUA WAPI? Naomba leo nisiongee chochote zaidi ya kulaani wale wote waliosababisha haya yatokee. Subscribe to: Post Comments (Atom). Dar Es Salaam Time. SERIKALI YAWATAKA WATENDAJI NA WAMILIKI WA BLOGGERS KUZINGATIA NSHERIA ZA NCHI. Na Beatrice Lyimo-MAELEZO,* Dar es Salaam* *SERIKALI imetoa wito kwa wamiliki na watendaji wa mitandao ya kijamii (Blogs) nchini kufuata Misingi, Sheria n. Mfahamu producer Cjamoker wa Chimbo Inc. Photo Of The Day💕. Blesses of your life.
SOCIAL ENGAGEMENT