foreigntanzania.blogspot.com
Foreign Affairs, East African, Regional and and International Co-operation: July 2015
http://foreigntanzania.blogspot.com/2015_07_01_archive.html
Friday, July 31, 2015. Marais wastaafu wajadili uongozi wa Afrika. MARAIS WASTAAFU WAJADILI UONGOZI WA AFRIKA. Marais wastaafu wa nchi sita za Afrika wamekutana Jijini Dar es Salaam jana kutafakari mustakabali wa Bara lao wakizingatia mabadiliko ya kiuchumi, kisiasa na kiteknolojia ulimwenguni. Mjadala huo ulioitishwa na Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Benjamin Mkapa, ulifunguliwa rasmi na Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Museveni. Uongozi wa nchi za Afrika ulikosolewa kwa kushindwa kutoa kipaumbele kwa maende...
foreigntanzania.blogspot.com
Foreign Affairs, East African, Regional and and International Co-operation: May 2015
http://foreigntanzania.blogspot.com/2015_05_01_archive.html
Sunday, May 31, 2015. Rais Kikwete aongoza Mkutano wa Pili wa Dharura wa Wakuu wa Nchi wa EAC kuhusu Burundi. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula (wa pili kutoka kulia) akifuatiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bibi Joyce Mapunjo na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje (kulia) nao wakiimba wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Juu na Chini ni Wajumbe mbalimbali wakifuatilia mkutano wa wakuu wa nchi wa EAC. Rais Kikw...
foreigntanzania.blogspot.com
Foreign Affairs, East African, Regional and and International Co-operation: January 2015
http://foreigntanzania.blogspot.com/2015_01_01_archive.html
Friday, January 30, 2015. Licha ya Changamoto nyingi, Bara la Afrika linapiga hatua, Zuma. Mwenyekiti wa Kamati ya Viongozi wa Afrika Juu ya mabadiliko ya Tabia nchi,Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasilisha ripoti ya utendaji wa kamati hiyo katika mkutano wa Viongozi wa Umoja wa Afrika uliofanyika jijini Addis Ababa Ethiopia.Mkutano huo ulimalizika jana. Na Ally Kondo, Addis Ababa. Changamoto hizo ni pamoja na mabadiliko ya tabianchi, ugaidi, migogoro ya kutumia silaha, ukatili wa kutisha, biashara h...
foreigntanzania.blogspot.com
Foreign Affairs, East African, Regional and and International Co-operation: August 2015
http://foreigntanzania.blogspot.com/2015_08_01_archive.html
Friday, August 28, 2015. Balozi Mulamula, awaaga Mabalozi wa Misri na Uturuki. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, akimkabidhi zawadi Balozi wa Uturuki anayemaliza muda wake hapa nchini, Mhe. Ali Dovutoglu, wakati wa hafla ya kumuaga, iliyofanyika leo 28-08-2015,katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula, akizungumza katika hafla hiyo. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushiri...
foreigntanzania.blogspot.com
Foreign Affairs, East African, Regional and and International Co-operation: Marais wastaafu wajadili uongozi wa Afrika
http://foreigntanzania.blogspot.com/2015/07/marais-wastaafu-uongozi-wa-afrika.html
Friday, July 31, 2015. Marais wastaafu wajadili uongozi wa Afrika. MARAIS WASTAAFU WAJADILI UONGOZI WA AFRIKA. Marais wastaafu wa nchi sita za Afrika wamekutana Jijini Dar es Salaam jana kutafakari mustakabali wa Bara lao wakizingatia mabadiliko ya kiuchumi, kisiasa na kiteknolojia ulimwenguni. Mjadala huo ulioitishwa na Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Benjamin Mkapa, ulifunguliwa rasmi na Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Museveni. Uongozi wa nchi za Afrika ulikosolewa kwa kushindwa kutoa kipaumbele kwa maende...
foreigntanzania.blogspot.com
Foreign Affairs, East African, Regional and and International Co-operation: Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika akutana na Ujumbe wa EU nchini
http://foreigntanzania.blogspot.com/2015/08/mkurugenzi-wa-idara-ya-ulaya-na-amerika.html
Friday, August 7, 2015. Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika akutana na Ujumbe wa EU nchini. Mkurugenzi Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Joseph Sokoine akimsikiliza Balozi wa Ujerumani nchini, Mhe. Egon Kochanke alipokuwa akiongea kwa niaba ya Mabalozi wa Umoja wa Ulaya (EU) walipokutana kwa mazungumzo Wizarani hivi karibuni. Sehemu ya Ujumbe huo kutoka Umoja wa Ulaya hapa wakifuatilia mazungumzo kati ya Balozi Sokoine na Balozi Kochanke.
foreigntanzania.blogspot.com
Foreign Affairs, East African, Regional and and International Co-operation: Rais Museveni awasili nchini kuhudhuria Mkutano wa Jukwaa la Uongozi la Afrika
http://foreigntanzania.blogspot.com/2015/07/rais-museveni-awasili-nchini-kuhudhuria.html
Thursday, July 30, 2015. Rais Museveni awasili nchini kuhudhuria Mkutano wa Jukwaa la Uongozi la Afrika. Rais wa Uganda, Mhe.Yoweri Kaguta Museveni akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw.Said Meck Sadiq mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, tayari kwa kuhudhuria mkutano wa Jukwaa la Uongozi la Afrika unaofanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 30 na 31 Agosti, 2015. Mhe Rais Museveni akikagua gwaride rasmi lililoandaliwa kwa ajili yake. Wizara ya Mambo ya Nje...
foreigntanzania.blogspot.com
Foreign Affairs, East African, Regional and and International Co-operation: October 2014
http://foreigntanzania.blogspot.com/2014_10_01_archive.html
Thursday, October 30, 2014. IOM yakabidhi vifaa vya Kompyuta Wizarani. Mkurugenzi wa Idara Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akizungumza na Mkurgenzi wa Shirika la Kimataifa Ia Uhamiaji (I.O.M), Bw. Damien Thuriaux ofisini kwake alipokuja kukabidhi vifaa vya kompyuta kwa ajili ya Wizara. Mazungumzo yakiendelea kati ya Balozi Mushy na Damien Thuriaux, huku Bibi Naomi Zegezege, Afisa Mambo ya Nje akinukuu. Balozi Celestine Mushy akipokea moja ya vifaa hivyo. Wednesday, October 29, 2014.
foreigntanzania.blogspot.com
Foreign Affairs, East African, Regional and and International Co-operation: Press Release
http://foreigntanzania.blogspot.com/2015/07/press-release_31.html
Friday, July 31, 2015. HE Simonetta Sommaruga, President of Switzerland. HE Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to. HE Simonetta Sommaruga, President of the Swiss Confederation. On the occasion of the National Day of Switzerland on 1. The message reads as follows;. 8220;H.E. Simonetta Sommaruga,. President of the Swiss Confederation,. Issued by the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, Dar es Salaam. Welcome to the Tan...
foreigntanzania.blogspot.com
Foreign Affairs, East African, Regional and and International Co-operation: Wizara ya Mambo ya Nje yamuaga rasmi Balozi wa India aliyemaliza muda wa kazi nchini
http://foreigntanzania.blogspot.com/2015/07/wizara-ya-mambo-ya-nje-na-ushirikiano.html
Wednesday, July 29, 2015. Wizara ya Mambo ya Nje yamuaga rasmi Balozi wa India aliyemaliza muda wa kazi nchini. Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya (kushoto) pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo hapa nchini ambaye pia ni mkuu wa Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini, Mhe.Juma Halfan Mpango wakifuatilia hotuba ya. MheDebnath Shaw (hayupo pichani). Balozi Yahya kwa pamoja na. Balozi Shaw wakitakiana afya njema. Balozi Yahya akiw...