mtandawazi.wordpress.com
UBAKAJI: NJOKI NDUNG’U ANAFICHA HABARI FULANI. « kwangila
https://mtandawazi.wordpress.com/2006/04/26/ubakaji-njoki-ndungu-anaficha-habari-fulani
Just another WordPress.com weblog. UBAKAJI: NJOKI NDUNG’U ANAFICHA HABARI FULANI. Swala hili lingali halieleweki. Mbunge maalum Njoki Ndungu amekuwa akijaribu kuwashawishi wabunge wenzake wakubali mswada anaopendekeza; kwamba wabakaji wanastahili kuchukuliwa hatua kali tofauti na jinsi ilivyo sasa. Vikao vingi vimeandaliwa na hivi leo bunge la Kenya ambalo lina wanaume wengi litapitisha au kutopitisha mswada ambao utawafunga wanaume. Siungi mkono ubakaji wa visichana vidogo au akina nyanya bali ipo haja ...
mtandawazi.wordpress.com
KITOTO CHA MAREKANI KINASAFIRI ULIMWENGUNI ZAIDI YA MHADHIRI CHUONI AFRIKA. « kwangila
https://mtandawazi.wordpress.com/2006/04/11/kitoto-cha-marekani-kinasafiri-ulimwenguni-zaidi-ya-mhadhiri-chuoni-afrika
Just another WordPress.com weblog. KITOTO CHA MAREKANI KINASAFIRI ULIMWENGUNI ZAIDI YA MHADHIRI CHUONI AFRIKA. Hii ndio sababu vyuoni barani Afrika tunatumia vitabu vilivyotumika karne zilizopita katika kufundisha wanafunzi. Hii ndio sababu Wahadhiri hawa wanatumia mbinu za ufundishaji zilizopitwa na wakati. Wenzao Marekani wakifunza kupitia tekinolojia ya kisasa wahadhiri barani Afrika wangali wanaandaa vikaratasi usiku kabla ya kuhadhiri siku inayofuata. Ili kutatua tatizo hili nikidhani wahadhiri wote...
mtandawazi.wordpress.com
2006 May 09 « kwangila
https://mtandawazi.wordpress.com/2006/05/09
Just another WordPress.com weblog. MAREKANI INAVYOFADHILI VITA BARANI AFRIKA. Mataifa mengine barani Afrika ambayo yamesombwa katika mizozo barani Afrika ni yale yenye mafuta na madini adimu duniani. Mifano ya mataifa haya ni Sudan, Nigeria, Congo, n.k. Nitarejelea Sudan pekee katika mjadala huu. Je Marekani inachangia vipi katika mzozo wa Darfur nchini Sudan? May 9, 2006. Posted by Daudi Kyeu. MAREKANI INAVYOFADHILI VITA BARANI AFRIKA. MISHAHARA YA WABUNGE KENYA: WIZI! NAMNA YA KUPIMA UBORA WA MAISHA.
mtandawazi.wordpress.com
2006 April 18 « kwangila
https://mtandawazi.wordpress.com/2006/04/18
Just another WordPress.com weblog. KUNA HATARI YA KALONZO MUSYOKA KUWA RAIS? Licha kwamba utafiti wa Steadman umemkweza Kalonzo Musyoka katika ngazi za juu zaidi kuliko wagombea wengine, ipo haja ya Wakenya kumpiga msasa huyu mheshimiwa Kalonzo Musyoka kabla ya kumpa kura zao. Maswali ambayo tunawza kujiuliza ni , Je alipokuwa waziri wa nchi za kigeni ishughulikia nchi namna gani? Je ana elimu ya kulikwamua taifa kutokana na majanga mengi yanayolikumba? Anahusiana vipi na viongozi wengine? April 18, 2006.
mtandawazi.wordpress.com
KUNA HATARI YA KALONZO MUSYOKA KUWA RAIS? « kwangila
https://mtandawazi.wordpress.com/2006/04/18/kuna-hatari-ya-kalonzo-musyoka-kuwa-rais
Just another WordPress.com weblog. KUNA HATARI YA KALONZO MUSYOKA KUWA RAIS? Licha kwamba utafiti wa Steadman umemkweza Kalonzo Musyoka katika ngazi za juu zaidi kuliko wagombea wengine, ipo haja ya Wakenya kumpiga msasa huyu mheshimiwa Kalonzo Musyoka kabla ya kumpa kura zao. Maswali ambayo tunawza kujiuliza ni , Je alipokuwa waziri wa nchi za kigeni ishughulikia nchi namna gani? Je ana elimu ya kulikwamua taifa kutokana na majanga mengi yanayolikumba? Anahusiana vipi na viongozi wengine? April 18, 2006.
mtandawazi.wordpress.com
MADHARA YA KUWEPO SARAFU AINA MOJA AFRIKA MASHARIKI. « kwangila
https://mtandawazi.wordpress.com/2006/04/21/madhara-ya-kuwepo-sarafu-aina-moja-afrika-mashariki
Just another WordPress.com weblog. MADHARA YA KUWEPO SARAFU AINA MOJA AFRIKA MASHARIKI. Vikao vinavyojadili kuungana kwa Afrika Mashariki vimepiga hatua sasa. Aidha kuna bunge sasa na Idara ya sheria ambazo ni mtikati ili mradi huu kuimarika. Marais vilevile wameanza kwa njia fulani kupokezana uenyekiti kwa zamu. Juzi Mheshimiwa Jakaya Kikwete amempokeza Mwai Kibaki Uenyekiti kwa kipindi kinachofuatia. April 21, 2006. Posted by Daudi Kyeu. 2 Comments ». August 13, 2007 Reply. August 13, 2007 Reply. Addre...
mtandawazi.wordpress.com
KUTOJUMULISHA MIKOPO YA WAFADHILI: HEKO SERIKALI « kwangila
https://mtandawazi.wordpress.com/2006/04/11/kutojumulisha-mikopo-ya-wafadhili-heko-serikali
Just another WordPress.com weblog. KUTOJUMULISHA MIKOPO YA WAFADHILI: HEKO SERIKALI. Utegemezi wa mikopo umeyafanya mataifa mengi kuwa maskini kila kukicha. Sababu ni kwamba wanaoahidi kutoa mikopo huchelea kuitoa au wakakosa kuitoa kabisa. Kisha ikishatolewa wanathibiti namna ya kuitumia na viwango vya riba. Hivi sasa deni la Kenya ni zaidi ya shilingi bilioni 500. Serikali inatumia 15% ya mapato kulipia deni hili. April 11, 2006. Posted by Daudi Kyeu. Leave a Reply Cancel reply. Enter your comment here.
mtandawazi.wordpress.com
KIFO NI NINI? « kwangila
https://mtandawazi.wordpress.com/2006/04/12/kifo-ni-nini
Just another WordPress.com weblog. Kifo ni siri ya MUNGU. Kina vyombo anuwai vya kuabiria. Kikizuru kwangu siku imefika ndugu. Hamna nafasi ya kukiambia njoo mtondogoo. April 12, 2006. Posted by Daudi Kyeu. 17 Comments ». Hi, hi, hi! July 9, 2007 Reply. Comment by fff pussy. August 3, 2007 Reply. Comment by fff fisting. August 4, 2007 Reply. Comment by fff celebrity. August 4, 2007 Reply. Comment by fff babe. August 4, 2007 Reply. Comment by fff porn. August 4, 2007 Reply. Comment by fff adult. UBAKAJI: ...
mtandawazi.wordpress.com
2006 April 12 « kwangila
https://mtandawazi.wordpress.com/2006/04/12
Just another WordPress.com weblog. Kifo ni siri ya MUNGU. Kina vyombo anuwai vya kuabiria. Kikizuru kwangu siku imefika ndugu. Hamna nafasi ya kukiambia njoo mtondogoo. April 12, 2006. Posted by Daudi Kyeu. MAREKANI INAVYOFADHILI VITA BARANI AFRIKA. MISHAHARA YA WABUNGE KENYA: WIZI! SIKUKUU YA KUVUTA MARIJUANA MAREKANI. UBAKAJI: NJOKI NDUNG’U ANAFICHA HABARI FULANI. MADHARA YA KUWEPO SARAFU AINA MOJA AFRIKA MASHARIKI. KUNA HATARI YA KALONZO MUSYOKA KUWA RAIS? NAMNA YA KUPIMA UBORA WA MAISHA.