irenemwamfupejamii.blogspot.com
IRENE MWAMFUPE JAMII: Kigogo Ikulu azuia nyumba ya Jide
http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2015/08/kigogo-ikulu-azuia-nyumba-ya-jide.html
TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA. Wednesday, August 5, 2015. Kigogo Ikulu azuia nyumba ya Jide. Deogratius Mongela na Chande Abdallah. Ile nyumba ya nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ iliyopo Mivumoni, Kinondoni jijini Dar es Salaam, iliyowekwa mnadani zaidi ya mwezi mmoja uliopita, imezuiwa kupigwa bei na kigogo mmoja wa ikulu, Risasi Mchanganyiko lina full data. Judith Wambura Mbibo ‘Jide’. Baada ya kupata ‘ubuyu’ huo, gazeti hili lilitaka kujiridhisha na ukweli wa...8220;Ni k...
irenemwamfupejamii.blogspot.com
IRENE MWAMFUPE JAMII: MAGUFULI ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI JIJINI DAR LEO,VIFIJO NA NDEREMO VYATAWALA
http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2015/08/magufuli-achukua-fomu-kuwania-urais.html
TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA. Tuesday, August 4, 2015. MAGUFULI ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI JIJINI DAR LEO,VIFIJO NA NDEREMO VYATAWALA. Mhe Samia Suluhu Hassan akiwashukuru Wananchi na Wanachama wa CCM waliojitokeza kwa wingi nje ya ofisi ndogo ya CCM Mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam baada ya kutoka Tume ya Uchaguzi kuchukua Fomu za kugombea Urais leo agosti 4, 2015. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahaman Kinana akiwashukuru Wananchi na wafuasi wa chama cha CCM walioshiriki shugh...
irenemwamfupejamii.blogspot.com
IRENE MWAMFUPE JAMII: Wabunge 51 waanguka kura za maoni
http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2015/08/wabunge-51-waanguka-kura-za-maoni.html
TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA. Saturday, August 8, 2015. Wabunge 51 waanguka kura za maoni. Wakati vyombo vya juu vya baadhi ya vyama vya siasa vikiwa vimeanza hatua za mwisho za kupitisha wagombea wa ubunge na udiwani tayari kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, hadi juzi wabunge 51 walikuwa wameanguka kwenye kura za maoni za ndani ya vyama vyao. Miongoni mwa walioanguka ni mawaziri wa Serikali ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, ambao walikuwa wakitetea viti vyao majimboni. Mbali na walioanguka, wa...
irenemwamfupejamii.blogspot.com
IRENE MWAMFUPE JAMII: NEC: Marufuku kutoa kadi ya kupigia kura
http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2015/08/nec-marufuku-kutoa-kadi-ya-kupigia-kura.html
TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA. Saturday, August 8, 2015. NEC: Marufuku kutoa kadi ya kupigia kura. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeonya kwamba mtu yoyote haruhusiwi kutoa kadi yake ya kupigakura au taarifa za kadi hiyo kwa ndugu, jamaa au mwajiri wake. NEC imetoa onyo hilo wakati tayari kukiwa na tetesi kuwa baadhi ya wafanyakazi wa umma wakiwamo polisi, wanajeshi na askari magereza, wametakiwa kukabidhi kadi zao kwa viongozi wao wa ngazi za juu. Ofisa Mawasiliano wa Magereza, Deodatus Kazinja alisema hi...
irenemwamfupejamii.blogspot.com
IRENE MWAMFUPE JAMII: Mkutano Mkuu wa CHADEMA umempitisha Edward Lowassa kuwa Mgombea Urais na mgombea mwenza Duni Haji, hatimaye kuwa wagombea wa UKAWA
http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2015/08/mkutano-mkuu-wa-chadema-umempitisha.html
TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA. Tuesday, August 4, 2015. Mkutano Mkuu wa CHADEMA umempitisha Edward Lowassa kuwa Mgombea Urais na mgombea mwenza Duni Haji, hatimaye kuwa wagombea wa UKAWA. Ukumbi wa mlimani City unavyoonekana kabla ya wajumbe kuingia:. Wajumbe wa Kamati Kuu wameingia ukumbini kwa muda wa dakika kadhaa zilizopita. Hivi sasa Edward Lowassa anaingia ukumbini akiwa akiambatana na John Mnyika, Freeman Mbowe, Salum Mwalimu. Salim, anasema usajili uliofanywa na Mbowe wakati wa dakika za mwisho unast...
irenemwamfupejamii.blogspot.com
IRENE MWAMFUPE JAMII: Nuh Mziwanda amuomba penzi Wema!
http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2015/08/nuh-mziwanda-amuomba-penzi-wema.html
TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA. Monday, August 3, 2015. Nuh Mziwanda amuomba penzi Wema! Katika hali ya kushangaza, sauti ya mpenzi wa staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ inayosikika akimtongoza Wema Sepetu imemfikia Shilole na kusababisha azimie, Ijumaa Wikienda linakupa ‘ubuyu’ kamili. Staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, akiwa na mpenzi wake wa sasa Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’. APOTEZA ‘NETIWEKI’ “Aliporudi alipokuwa a...AUNT AOKOA JAHA...
zehotpot.blogspot.com
Ze HOT POT: November 2012
http://zehotpot.blogspot.com/2012_11_01_archive.html
Friday, November 30, 2012. Ze Hot pot C.E.O Da Legendary Jason. Links to this post. VIDEO YA GARI ALILOPATA NALO AJALI SHARO MILIONEA. PICHA 13 ZA ENEO ALILOPATA AJALI SHARO MILIONEA, TAZAMA AJALI ILIPOANZIA. Gari alilokua analiendesha Sharo Milionea lilianza kutoka nje ya barabara kuanzia hapa. Sehemu gari lilipokwenda kusimama ni pale kwenye watu wengi panaonekana kwa mbali. Gari lilivuka hii sehemu na kubinukia kule mbele baada ya hilo daraja dogo ambako ndio liligonga huu mti hapa chini. Huyu shuhuda...
zehotpot.blogspot.com
Ze HOT POT: Mitandao ya Marekani na Ulaya imetawaliwa na hii stori ya Will Smith.
http://zehotpot.blogspot.com/2013/11/mitandao-ya-marekani-na-ulaya.html
Thursday, November 7, 2013. Mitandao ya Marekani na Ulaya imetawaliwa na hii stori ya Will Smith. Story inayosambaa kwenye mitandao ya udaku hivi sasa ni kuhusu skendo inayomuhusu star wa movie Will Smith kwamba inasemekana ametoka nje ya ndoa yake na Jada Pinket ambapo amecheza faulo nje ya ndoa na mwanamke mwenye miaka 23 ambaye wamefanya nae kazi kwenye romantic comedy drama inaitwa Focus. Juu ni Margot Robbie na hizo chini ndiyo picha zilizovuja akiwa na Will Smith. Subscribe to: Post Comments (Atom).
zehotpot.blogspot.com
Ze HOT POT: NDOA YA BOB JUNIOR CHALI
http://zehotpot.blogspot.com/2013/11/ndoa-ya-bob-junior-chali.html
Thursday, November 7, 2013. NDOA YA BOB JUNIOR CHALI. MIEZI michache baada ya kufunga ndoa na kupata mtoto, Prodyuza na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Raheem Rummy Nanji ‘Bob Junior’ na mkewe Halima Ally wameachana, Amani linakuhabarisha. Bob Junior na mkewe Halima Ally siku ya ndoa. Habari kutoka katika chanzo chetu makini ambacho ni rafiki wa karibu na Bob Junior zinasema kwamba, ndoa hiyo ilivunjika muda mrefu lakini wahusika walikuwa wakifanya siri lakini Amani limeinasa. YUKO NA NANI SASA? Alipoulizwa ...
zehotpot.blogspot.com
Ze HOT POT: June 2012
http://zehotpot.blogspot.com/2012_06_01_archive.html
Saturday, June 30, 2012. MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JUNE 30. Ze Hot pot C.E.O Da Legendary Jason. Links to this post. WEMMA: ‘Mama kanitia aibu’. Wema Isaac Sepetu na mama yake, Mariam Sepetu hawapo vizuri tangu yale mahojiano aliyoyafanya mzazi wake huyo runingani wiki mbili zilizopita akiwachana marafiki wa staa huyo mkubwa wa picha za Kibongo. TUJIUNGE NA WEMA AKITIRIRIKA! 8220;Kwanza sikuwepo wakati mama anafanya intavyu ‘so’ sikutarajia kama angezungumza vitu vya namna ile. 8220;Yaah…ukweli R...